Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kianga, Mtwara

video thumbnail
Sh. 400,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

NYUMBA ZINAUZWA KIANGA BRANCH
#unguja #zanzibar

Umbali mpaka Barabarani Mita 500

Ukubwa wa Kiwanja Mita 35x32

Nyumba zipo 2 Katika Kiwanja Mita 35x32

NYUMBA 1 (Nyumba ya Ghorofa 1)
Ground Floor
Chumba 1 (Master), Dining Room, Sitting Room, Jiko, Stoo & Public Toilet

Second Floor
Vyumba 2 (Vyote Master)
Jiko

NYUMBA 2 (Nyumba ya chini/sio ya Ghorofa)
Hii Ina wapangaji Inajitegemea umeme
Vyumba 4 ( Master 2)Dining Room, Sitting Room, Jiko, Stoo & Public Toilet

ZIADA
Mabanda ya kuku
Chumba (Master) cha Uwani

Fensi
Maji (Kisima)

Njia Upande 1

Bei Tsh 400m (Maongezi Yapo)

What’s App/Call0653007438
#mtegemeachanduguhufamaskini
#kimfaachomtuchake