Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 75,000,000

Maelezo

KIBUGUMO 🔥🏡

💎 FURSA NZURI YA KUMILIKI BOMA KATIKA ENEO ZURI!

Boma linauzwa Kigamboni – Kibugumo likiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira mazuri. Boma lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kulimalizia kwa mtindo anaoupenda.

✨ SIFA ZA BOMA:
✅ Vyumba 4
✅ Chumba 2 Master
✅ Sebule
✅ Dining
✅ Jiko
🏗️ Lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 700
📄 Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa

📍 UMBALI:
🚗 Kilomita 1 kutoka barabara
⛴️ Kilomita 7 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 8 kutoka Kigamboni Darajani

💰 BEI: TZS MILIONI 75
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.

🔥 FURSA YA KIPEKEE:
Unapata boma lenye vyumba 4 kwenye kiwanja cha SQM 700, kisha unalimalizia kwa design na finishing unayoipenda.

📞
📍Service charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Matangazo mengine Kibugumo, Dar es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 75,000,000

For Sale3 beds1 bath800 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 75,000,000

For Sale3 beds1 bath800 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 75,000,000

For Sale3 beds1 bath800 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 85,000,000

For Sale5 beds0 baths700 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 87,000,000

For Sale3 beds3 baths400 sqmhouse
Dalali Kigamboni mbavu