Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 135,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA โ€“ KIGAMBONI FANI CITY

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba mpya ya kisasa katika eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi na uwekezaji.

๐Ÿ“ Mahali: Kigamboni โ€“ Fani City
๐Ÿ“„ Nyaraka: Sales Agreement

โœจ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 4, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Nyumba mpya kabisa
* Kisima cha maji
* Fremu ya biashara ndani ya eneo
* Mazingira tulivu na salama

๐Ÿ“ Umbali:

* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 12 kutoka Feri
* Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

๐Ÿ’ฐ Bei:

TZS Milioni 135 (Mazungumzo yapo.)

๐Ÿ”ฅ BEI IMEPUNGUA!
Hapo awali nyumba hii ilikuwa inauzwa kwa TZS Milioni 160, lakini kwa sasa mwenye nyumba anaiuza kwa TZS Milioni 135 tu.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: 0769 554 221
๐Ÿ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam