Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (800 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥🏠 GHOROFA LA KISASA, LA KISHUA LINAUZWA KIGAMBONI KISOTA! 🔥
💎 Unatafuta gorofa la kifahari kwenye mtaa wa kishua sana? Hii ni offer ya kipekee usiipitishe!
📍 Kigamboni – Kisota
📐 Eneo: SQM 800
🏡 Ghorofa lina vyumba 4 vya kulala, vyote Master Bedroom
🍽️ Dining + Jiko
✨ Muonekano wa kisasa na kiwango cha juu sana!
📜 Limepimwa na lina Hati ya Wizara
🏦 Linauzwa na Benki
💰 BEI: MILIONI 500 TU!
🔥 Thamani ya gorofa na eneo lake ni kubwa sana ukilinganisha na bei inayouzwa!
⚡ WAHI PEMBEZONI! OFFER HII ISIKUPITE!
📞 Nipigie simu sasa hivi, tajiri—ujulikane tajiri! 😎💰
💼 Service charge: TZS 30,000
📲 @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni Kisota GhorofaLinauzwa PropertyForSale Investment















