Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Malaika Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Maelezo
π‘π₯ GHOROFA LA KISASA LINAUZWAβ KIGAMBONI, /MALAIKA BEACH π₯π‘
π FURSA YA KIPEKEE KARIBU NA BEACH!
Ghorofa la kisasa kabisa linauzwa Kigamboni, eneo la Mikadi/Malaika Beach, sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji wa kitalii. Eneo la Mikadi liko karibu na Kigamboni Ferry na lina ufukwe wa Bahari ya Hindi.
β¨ SIFA ZA GHOROFA:
β
Vyumba 4, vyote Master
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
β
Design ya kisasa kabisa
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
π Hati ya Wizara
π Takribani mita 200 kutoka Beach
π UMBALI:
π Mita 200 kutoka barabarani
β΄οΈ Kilomita 3 kutoka Ferry
π Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
π° BEI: TZS MILIONI 480
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ GHOROFA HILI LINAfaa kwa:
π¨ Hotel
π‘ Airbnb
π House Party
π Makazi ya familia
π Uwekezaji wa muda mrefu
π΄ Eneo la Kigamboni lina fursa nzuri kwa miradi ya makazi na utalii kutokana na ukanda wake wa pwani.
π
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















