Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba nzuri sana ina uzwa tsh mil 65 ipo mbagala chamaz magengeni jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa msufini
Ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp 🇹🇿 0759 203175 0652 618 143 🇹🇿















