Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Zakhem, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

Maelezo

šŸ” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBAGALA ZAKHEM, KIBONDEMAJI B šŸ”

šŸ’° Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo yapo)

Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!

✨ Sifa za Nyumba:
āœ… Vyumba 4 vya kulala
āœ… Vyumba 2 Master Bedroom
āœ… Sitting Room kubwa
āœ… Dining Room
āœ… Jiko la kisasa
āœ… Umeme na maji ya uhakika
āœ… Fensi ya waya kuzunguka eneo lote
āœ… Eneo kubwa la parking – linaweza kuingiza magari madogo 3

šŸ“ Mahali: Mbagala Zakhem, Mtaa wa Kibondemaji B

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba nzuri kwa bei nafuu.

šŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu:
0683 665504

Matangazo mengine Mbagala, Dar Es Salaam

Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 100,000,000

For Salehouse
Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 58,000,000

For Salehouse
Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 58,000,000

For Salehouse