Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 85,000,000

Maelezo

šŸ” NYUMBA INAUZWA – MBEZI MALAMBA MAWILI šŸ”

Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa eneo la Mbezi Malamba Mawili, umbali wa dakika 10 tu kutoka kituoni, inafikika kirahisi kwa gari.

✨ Sifa za nyumba:
• Vyumba 4 (kimoja Master)
• Sebule kubwa na ya kisasa
• Dining
• Jiko lenye makabati + store
• Choo cha wageni (public)
• Maji ya uhakika

šŸ“ Ukubwa wa eneo: SQM 400

šŸ’° Bei: Milioni 85

šŸ‘‰ Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji (kupangisha na kupata kipato).

šŸ’¼ Service charge: 30,000/=

šŸ“ž Muhitaji piga: +255 688 412 890

Karibu tajiri Mbezi Malamba Mawili!