Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Pugu-Kajiungeni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 4, TSHS.35 MILIONI,PUGU-KAJIUNGENI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu
+255 714 591 548
________________tP















