Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (400 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
4min
Huduma na Sifa
Maelezo
๐กโจNYUMBA HII INAUZWA TABATA KIMANGA DAR ES SALAAM TANZANIA ๐น๐ฟ
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! ๐
๐ TABATA KIMANGA
๐UMBALI NI Dk 4 KUTOKA MAIN RAOD
๐ UKUBWA WA KIWANJA NI SQM 400
๐UMILIKI - NYALAKA ZA SERIKALI ZA MTAA
๐ดHii ni fulsa Nzuri sana imekuja kwako ndugu nyumba Inauzwa Kwa BEI lafiki mno Ipo sehemu nzuri pia panafikika kwa ulahisi sana inafaa kwa uwekezaji kuikalabati kidogo na kuipangisha au kuishi mwenyewe ndugu mteja.
โ
Vyumba 4 Vya Kulala
โ
2 Master bedrooms
โ
Sebule
โ
Dinning Room
โ
Jiko safi
โ
Stoo
โ
Public Toilet
โ
maji kisima
๐ฐ BEI NI 180 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! ๐ฅ
๐ Muhitaji piga:
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliMarikikinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstat















