Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 210,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Hati
airCondition
Feni
Tiles
Makabati ya Jiko
Sebule

Maelezo

Hii nyumba inauzwa bei milion 210 maongezi kidogo yapo, umiliki wa nyumba ina hati miliki ya wizara ya aridhi, ukubwa wa eneo square meter 500, ina vyumba 4 vya kulala na vyumba 2 master bedroom, sebule kubwa, jiko lenye makabati, dining room, public toilet, store, boyccoter ya chumba master, sebule na jiko, full air-condition & fan, ni maeneo ya tabata segerea dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam