Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

IMEPUNGUZWA BEI , SASA TSHS.59 MILIONI,UKONGA-MOSHI BAR.

Nyumba kubwa, nzuri YAKUHAMIA.
Vyumba 4 vya kulala (2 Vyoo ndani)
Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mskv