Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Bunju-A, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1400 SQM
Barabara ya Karibu
1.5km — Bagamoyo Road
Maelezo
GHOROFA YAKUMALIZIA, VYUMBA 5,INAUZA BANK,TSHS.250 MILIINI,BUNJU-A.
Ni nyumbacya kisasa ya Sakafu 2.
Ina vyumba 5 (Kila Chumba na Choo chake)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ipo umbali wa kilomita 1.5 kutoka Barabara ya Bagamoyo, UPANDE WA KUSHOTO ukielekea Bagamoyo kutokea Dar.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,400.
Umiliki ni HATI ( Title Deed) ya Wizara.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 19%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________emM















