Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Geza, Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 700,000/month

Maelezo

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – STAND ALONE | KIGAMBONI GEZA

Kigamboni

Nyumba ya kisasa stand alone inapangishwa eneo la Geza, Kigamboni.

✨ Sifa za nyumba:

* Vyumba 3 vya kulala (vyote ni master)
* Sebule kubwa na ya kisasa
* Dining area
* Jiko lililokamilika
* Nyumba iko peke yake (stand alone)
* Parking kubwa ya magari
* Eneo tulivu na salama

💰 Bei: Tsh 700,000 kwa mwezi (laki saba)

📍 Geza, Kigamboni

📞 Call / WhatsApp: 0746407197

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam