Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

Sh. 2,000,000/month

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA YA KUPANGISHA โ€“ KINYEREZI SHULE (THE VOICE)

๐Ÿ“ Eneo zuri sana, karibu kabisa na barabara ya lami.

Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa na usalama wa hali ya juu? Hii ndiyo fursa yako!

โœจ Sifa za nyumba:

* Vyumba 3 vikubwa (2 ni Master)
* Sebule ya chini na sebule ya juu
* Jiko la kisasa lenye makabati ya juu na chini
* Store
* Choo cha wageni (Public Toilet)

๐ŸŒŸ Huduma na Mazingira:

* Nyumba mpya (zipo 3 tu ndani ya fence)
* Maji ya kisima
* Parking ya kutosha
* CCTV Camera
* Mlinzi
* Electronic Fence

๐Ÿ’ฐ Kodi: TSh 2,000,000 kwa mwezi
๐Ÿ“… Malipo: Miezi 6 mbele
๐Ÿ’ผ Udalali: Kodi ya mwezi mmoja

๐Ÿ“ž Wasiliana:

Karibu tajiri, tufanye biashara! ๐Ÿกโœจ

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Dalali Tabata