Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Majengo, Kilimanjaro







Sh. 400,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAPANGISHWA ā MARENGO, MOSHI, TANZANIA š”
Unatafuta nyumba yenye nafasi kubwa na mazingira tulivu? Hii ndiyo fursa yako!
Maelezo ya nyumba:
šļø Vyumba 3 vya kulala
šļø Sebule (Living Room)
š½ļø Dining Room
š³ Jiko
šæ Master Bedroom yenye choo na bafu ndani
š» Public Toilet & Bathroom
š³ Eneo zuri, salama na tulivu
š Mahali: Marengo, Moshi, Tanzania
š° Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
Inafaa kwa familia au watu wanaotafuta makazi yenye nafasi na faraja.
š Kwa maelezo zaidi au kupanga kuja kuiona nyumba, wasiliana nasi leo.
Karibu uione na ujionee mwenyewe! š
