Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbweni JKT, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,000,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

1

Huduma na Sifa

Maji
Uzio
Parking Space
Sebule
Jiko
Public Toilet

Maelezo

nyumba inapangishwa ipo Mbweni JKT

ina vyumba vitatu vya kulala Sebule jiko na public toilet

inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani

KODI 1M kwa mwezi

ndani ya Fensi Parking ipo kubwa sana

survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena

ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba

O677370515 whatsapp
O688991244 normal call