Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Mageni, Dar Es Salaam

Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
8 days ago
Sh. 700,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Huduma na Sifa
AirBnb
Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Maelezo
#Repost dalali Mkuu Tabata
——
🏡 NYUMBA YA VYUMBA VITATU INAPANGISHWA – LOCATION TABATA MAGENGENI
takribani dakika 1 kutoka kituoni ✨
____________________________
✅ Vyumba 2 vya kulala
🛏️ chumba 1 ni Master
🛋️ Sebule $ Diningi nzuri A/C
🍳 Jiko lenye makabati
🚻 Choo cha public kwa wageni
🏡 Ndani ya fence
👨👩👧👦 Wapangaji ni 6 tu
🚗 Paving ipo
🔐 Usalama upo wa kutosha
💧 Maji na umeme vinajitegemea
💰 Kodi: TSh 700,000/= kwa mwezi
🤝 Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja
🧾 Service charge: TSh 20,000/=
📞 Wasiliana 0712500602 / 0755336565
Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.
