Tafuta
-
-

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tegeta Namanga, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,500,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

1

Huduma na Sifa

Tiles
AirBnb
Parking Space
(Fence) Ukuta
Umeme
Luku Inajitegemea

Maelezo

🏠 NYUMBA INAPANGISHWA – TEGETA NAMANGA

πŸ“ Location: Tegeta Namanga, Dar es Salaam

πŸ’° Kodi: TSH 1,500,000 kwa mwezi
πŸ“† Malipo: Miezi 6

✨ Stand Alone – Inajitegemea ndani ya fence
Inafaa kwa familia kubwa πŸ‘¨β€πŸ‘©β€πŸ‘§β€πŸ‘¦

πŸ”Ή Vyumba 3 vya kulala (Master yenye AC)
πŸ”Ή Sebule kubwa + Dining
πŸ”Ή Jiko lenye makabati
πŸ”Ή Choo na bafu (ndani + public)

🌟 Sifa za ziada:
β€’ Gypsum ceiling
β€’ Tiles za kisasa
β€’ Madirisha ya sliding
β€’ Umeme wa LUKU (meter yake)
β€’ Maji ya bomba (24hrs)
β€’ Parking ya magari
β€’ Eneo limezungushiwa fence

πŸ“ž Wasiliana: 074617918