Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Kwa Nzala, Dar Es Salaam
Chamazi, Dar Es Salaam
5 days ago
Sh. 30,000,000
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – CHAMAZI KWA NZALA
🔥 Bei: TSh Milioni 30 (Mazungumzo yapo).
Unatafuta nyumba nzuri kwa bei nafuu? Hii ndiyo nafasi yako!
Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
✅ Sitting Room
✅ Jiko
✅ Store
📍 Eneo: Chamazi Kwa Nzala.
Njoo site ujionee mwenyewe, ukague na ukamilishe manunuzi.
📞 Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504















