Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Eneo zuri na tulivu kwa makazi, Tabora (700 sqm)

Makazi, Uyui, Tabora
19 days ago
Sh. 350,000,000
Maelezo
BIG OFFER – TUNAKUUZIA
NYUMBA KWA BEI YA KIWANJA! 🔥
📍 Eneo zuri na tulivu kwa makazi
🏡 MAELEZO YA NYUMBA:
• Vyumba 3 (2 Master)
• Sebule kubwa na jiko la kisasa
• Eneo la kutosha – SQM 700
📄 Umiliki:
• Hati ya Serikali ya Mtaa
💰 BEI: MILIONI 350
👉 Maongezi yapo!
🌟 Fursa adimu kupata nyumba nzuri kwa bei nafuu kama kiwanja – wahi sasa!
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #vairalvideo
