Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (460 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
460 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – GOBA NJIA NNE ✨ Unatafuta nyumba ya kisasa, tulivu na yenye hadhi? Hii hapa fursa yako! 📍 Ipo Goba Njia Nne, mita 400 tu kutoka barabara kuu ✨ Sifa za nyumba: • Vyumba 3 vyote Master • Sebule kubwa, dining na jiko la kisasa • Full AC + Heater • Boys Quarter (Underground) • Eneo la kutosha kwa parking • Plot size: Sqm 460 📄 Hati ya Wizara 💰 Bei: Milioni 350 Tsh 📞0769-554-221 #trendingpage #istagram #realestateagent #trendingaudio #trendingnow















