Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Chekechea, Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA Nyumba nzuri inauzwa katika eneo tulivu la Kibada Chekechea, Kigamboni. Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji. Sifa za Nyumba: * Vyumba 3 (viwili master) * Sebule kubwa na eneo la dining * Jiko la kisasa * Eneo la kiwanja: SQM 1000 * Hati halali ya Wizara * Umbali: mita 100 tu kutoka barabara kuu Bei: TZS milioni 280 (Maongezi yapo) Wasiliana sasa kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea nyumba.📞0769-554-222 #trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingaudio















