Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Mwera, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
3km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI KIBADA MWERA
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi? Hii ni fursa nzuri kwako!
Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala (vyote Master)
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Imejengwa kwenye kiwanja cha SQM 400
β
Hati ya Serikali ya Mtaa
Mahali:
π Kibada Mwera, Kigamboni
π Kilomita 3 kutoka Kibada Stand
π Kilomita 11 kutoka Ferry
π Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TSh Milioni 130
π€ Mazungumzo kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
π 0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #trending #tanzania















