Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani (400 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km β Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYAA NZURI SANA INAUZWA KIBAHA KONGOWE TSH MILIONI 28 TU
==========
π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja master
π»Sebule
π»Jiko
π» Public toilet
==========
π Kiwanja chake kina sqm 400 β
__________________
βοΈ Nyumba ipo 1km kutoka Morogoro road
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
_____________________
π° BEI MILIONI 28 TU
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















