Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (625 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
625 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA ZURI SANA LA VYUMBA VITATU LINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 17 TU.
==========
๐ปLina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni Master
๐ปSebule kubwa
๐ปJiko kubwa
๐ป Public toilet
__________________
โ๏ธ Boda buku tu hadi mlangoni
โ๏ธ Ipo kwenye barabara ya mtaa
โ๏ธ Ina ukuta pande mbili, ukitaka kijanga fence zinabaki pande mbili tu za kumalizia
๐ Kiwanja chake kina 25*25
๐ Nguzo ya umeme imegusa kiwanja, maji yamepita pembeni ya kiwanja
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 17 tu
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994



















