Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mfipa, Pwani (400 sqm)
Kibaha, Pwani
1 hour ago
Sh. 23,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYAA NZURI SANA INAUZWA KIBAHA KWA MFIPA TSH MILIONI 23 TU
==========
🔻Ina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja master
🔻Sebule
🔻Jiko
🔻 Public toilet
==========
👉 Kiwanja chake kina sqm 400 ✅
__________________
✍️ Nyumba ni mpya kabisa
✍️ Ipo kwenye barabara ya mtaa
_____________________
💰 BEI MILIONI 23 TU
==========
✍️ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0684561351















