Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha kwa Mwendapole, Pwani (400 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
800m — Morogoro road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI SANA YA KUHAMIA TU INAUZWA KIBAHA KWA MWENDAPOLE TSH MILIONI 35 TU.
==========
🔻Ina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja master
🔻Sebule kubwa
🔻Jiko la kisasa
🔻 Public toilet
✍️ Ina fremu Moja ya duka
==========
👉 Tiles na Gypsum board ishawekwa ✅
👉 Vioo bado madirisha mawili tu kwingine tayari
✍️ Nyumba ina eneo sqm 400
__________________
✍️ Nyumba ipo mita 800 tu kutoka Morogoro road
✍️ Ipo kwenye makutano ya barabara mbili za mtaa
_____________________
💰 BEI MILIONI 35 tu.
==========
✍️ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
.















