Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam







Aina
Nyumba
Vyumba
3
Maelezo
๐ก Nyumba ya Kisasa Inauzwa โ Kigamboni, Geza (Wilayani)
Bei: TSH 220,000,000
Hati: Hati ya Wizara
Status: Nyumba ya Kuhamia Mara Moja
โธป
๐ Mahali
Nyumba ipo Kigamboni โ Geza (Wilayani), katika mtaa tulivu ulio na mpangilio mzuri, majirani wema, na iliyo karibu na huduma zote muhimu za kijamii.
โธป
๐ Muundo wa Nyumba
โข Vyumba 3 (kimoja Master Bedroom)
โข Sebule kubwa
โข Dining Room
โข Public Toilet
โข Jiko la kisasa lenye makabati
โข Store
โธป
โจ Huduma & Ustawi
โข Full AC
โข Garden nzuri
โข Eneo la kupumzikia nje ukiwa nyumbani
โข Electric Fence kwa ulinzi wa uhakika
โข Nyumba mpya na tayari kuhamia
โธป
๐ Faida
โข Ipo kwenye eneo zuri na lenye maendeleo
โข Miundombinu bora
โข Usalama wa kutosha
โข Inafaa kwa familia au uwekezaji
โธป
0713661530_0783661530
