Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mji Mwema, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
๐ก NYUMBA YA KISASA INAUZWA โ KIGAMBONI MJI MWEMA ๐ก
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa katika eneo zuri na lenye maendeleo ya haraka la Kigamboni Mji Mwema.
โ
Vyumba 3 vya kulala
โ
Chumba 1 Master
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko la kisasa
โ
Vyoo na bafu vya kisasa
โ
Fensi kamili na geti
โ
Nyumba imekamilika kwa kiwango kikubwa, imebaki kumalizia vitu vidogo vidogo
๐ Eneo zuri na salama kwa makazi ya familia.
๐ Umbali:
โข Kilometa 1 kutoka barabara ya lami
โข Kilometa 5 kutoka Ferry
โข Kilometa 7 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei: Milioni 90 (Mazungumzo yapo)
๐ 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #tanzania๐น๐ฟ #trendingaudio















