Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Mjimwema Kibugumo, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KUHAMIA INAUZWA – KIGAMBONI MJIMWEMA KIBUGUMO 🏡
Unatafuta nyumba nzuri ya kuhamia yenye mazingira tulivu na huduma muhimu? Hii ni fursa yako!
✅ Vyumba 3 (Kimoja Master)
✅ Hati ya Serikali ya Mtaa
✅ Eneo la Kiwanja: SQM 400
✅ Electric Fence
✅ CCTV Camera
✅ Kisima cha Maji
📍 Umbali
• Kilomita 1 kutoka barabara kuu
• Kilomita 7 kutoka Ferry
• Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: Milioni 55 Tu
🤝 Maongezi yapo kwa mnunuzi makini.
📞 Wasiliana Nasi: 0769 554 221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #tanzania🇹🇿















