Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kiluvya Madukani, Pwani (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
6km
Maelezo
NYUMBA MPYA, VYUMBA 3,TZS.65 MILIONI,KILUVYA MADUKANI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba nzuri na ina eneo kubwa.
Ipo umbali wa kilomita 6 kutoka Barabara ya Morogoro.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
WAHI KABLA HAIJAWAHIWA UJE USIKITIKE.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg















