Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kibaga B, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 85,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

3

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Maji
Parking Space
Paving Blocks
Bustani
Sebule
Jiko

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA INAUZWA โ€“ KINYEREZI KIBAGA B

๐Ÿ’ฐ BEI: MILIONI 85 (MAONGEZI YAPO)
๐Ÿ’ผ Service Charge: 20,000

๐Ÿ“ Ukubwa wa eneo: Sqm 500

โœจ Sifa za Nyumba:
๐Ÿ›๏ธ Vyumba 3 vya kulala
๐Ÿ›Œ Master 1
๐Ÿ›‹๏ธ Sebule kubwa
๐Ÿฝ๏ธ Jiko
๐Ÿšฝ Choo cha public
๐Ÿšป Choo cha nje
๐Ÿ’ง Maji yanapatikana
๐Ÿš— Parking (Paving Block)
๐ŸŒณ Garden nzuri

Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu, inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa kupangisha.

๐Ÿ“ž Piga: 0688 412 890
Tufanye biashara leo ๐Ÿค

#KinyereziKibagaB #NyumbaInauzwa #RealEstateDar #DalaliWakoWakishua