Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisarawe II, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 67,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KISARAWE II, KIGAMBONI

✨ Nyumba nzuri kwa makazi ya familia na uwekezaji, iliyopo katika eneo lenye utulivu na usalama mzuri.

πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: Sqm 400
πŸ“ Eneo: Kisarawe II – Kigamboni
πŸ›£οΈ Umbali kutoka lami: 1.5 Km
πŸ’° Bei: TSH 67,000,000

🏠 TAARIFA ZA NYUMBA

πŸ›οΈ Vyumba 3
⭐ Vyumba 2 Master Bedrooms
πŸ›‹οΈ Sebule
🍽️ Dinning
🍳 Jiko
🚽 Public Toilet
πŸ’§ Kisima cha maji
🧱 Fence kuzunguka nyumba
πŸšͺ Geti
πŸ›‘οΈ Eneo lenye usalama mzuri na mazingira tulivu

πŸ“„ Umiliki: Sales Agreement Document

πŸ”₯ Nyumba ipo tayari kwa matumizi na ni chaguo zuri kwa familia inayotafuta makazi yenye nafasi, faragha na mazingira mazuri.

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi au kupanga viewing:
0656 902 073

#NyumbaInauzwa #Kigamboni #KisaraweII #NyumbaKigamboni #RealEstateTanzania PropertyForSale

Matangazo mengine Kisarawe Ii, Dar Es Salaam