Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI (MTAA WA DOVYA)
Nyumba inauzwa kwa bei ya Tsh milioni 65 (maongezi yapo).
Ipo Mbagala Chamazi, mtaa wa Dovya, eneo zuri na linalokua kwa kasi.
🔹 Ina vyumba 3 vya kulala
🔹 Chumba 1 Master Bedroom
🔹 Sitting room na Dining room
🔹 Jiko la kisasa
🔹 Public toilet
🔹 Store
🔹 Huduma ya maji ipo
➕ Ina frame 3–3 pamoja na banda la vyumba 3 (fursa nzuri kwa upangishaji).
🏡 Nyumba ya kitajili na ya kisasa kabisa, imejengwa kwa ubora mzuri.
⚠️ Mwenyewe kavurugwa mno
👉 Hasara kwa muuzaji – faida kwa mnunuzi
📍 Njoo site ukague bila kukosa
📞 Kwa maelezo zaidi, wasiliana nami.(0683 665504)















