Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Mapemba, Dar Es Salaam

Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 75,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Huduma na Sifa
Umeme
Luku Inajitegemea
Maelezo
π NYUMBA INAUZWA β MBAGALA CHAMAZI (MAPEMBA)
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa kwa bei ya milioni 75 tu (maongezi yapo).
π Location: Mbagala Chamazi, Mapemba
π‘ Sifa za nyumba:
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
Sitting room kubwa
Dining room
Jiko la kisasa
Public toilet
Umeme wa LUKU upo
π₯ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu β ni chaguo sahihi kwa familia.
π Njoo site ukague mwenyewe, ukiwa serious huwezi kuiacha!
π₯ Mwenye nyumba yupo tayari kuuza β fursa ya kipekee kwa mnunuzi.
π Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504
