Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Saku Mwisho, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
π π₯ NYUMBA KALI INAUZWA β MILIONI 38 TU! π₯π
π Mbagala Chamazi Saku Mwisho
Nyumba inauzwa kwa TSh milioni 38 tu! Ni fursa nzuri kwa mwenye kutafuta nyumba ya kuishi au kufanya uwekezaji.
β¨ Sifa za nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala
β
Chumba 1 ni Master Bedroom
β
Sitting Room
β
Public Toilet
β
Banda la chumba
β
Sebule Master
β
Umeme upo β‘
β
Maji yapo π§
π Gari linafika mpaka site
π° Bei: MILIONI 38 TU
π₯ Usikose hii fursa! Njoo site ukague mwenyewe.
π Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504
#NyumbaInauzwa #Mbagala #Chamazi #Saku #NyumbaKali RealEstateTanzania DalaliMbagala















