Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Mbande Tambani, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 20,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

2

Huduma na Sifa

Umeme
Sebule
Public Toilet

Maelezo

Nyumba inauzwa ipo mbagala mbande tambani bei milioni 20. Nyumba ina rooms 3 vyakulala sitting room, room moja ni master bedroom na public toilet ipo pia, umeme upo unawaka ndani, na kuna eneo kubwa tu, unaweza hata ukatengeneza nyumba ingne eneo lake au ukaweka fensi ya kutosha tu eneo lake. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.