Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Beach Makonde, Dar Es Salaam

Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBEZI BEACH (MAKONDE JUU) Inauzwa nyumba nzuri ipo Mbezi Beach Makonde, upande wa juu. π° Bei: TZS Milioni 135 (maongezi yapo) πΉ Sifa za nyumba kubwa: Vyumba 3 vya kulala Sebule Jiko Dining πΉ Nyumba ya pembeni (inapangishwa): Chumba, sebule na jiko π Nyumba zote tayari zina wapangaji: Kodi ya nyumba kubwa: TZS 600,000 Kodi ya nyumba ndogo: TZS 250,000 π Gari yoyote inafika hadi nyumbani π Wasiliana: 0692 181 138















