Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mikwambe Fundi Baiskeli, Dar Es Salaam (350 sqm)


Maelezo
π‘π₯ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, MIKWAMBE FUNDI BAISKELI π₯π‘
π NYUMBA MPYA β IPO KWENYE HATUA ZA MWISHO!
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba mpya kabisa katika eneo la Kigamboni β Mikwambe Fundi Baiskeli. Nyumba imekamilika kwa takribani 70%, ikiwa kwenye hatua nzuri ya umaliziaji.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 3
β
Chumba 1 Master
β
Sebule
β
Jiko
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 350
ποΈ Nyumba imekamilika kwa takribani 70%
π UMBALI:
π Kilomita 2 kutoka Baba Alami
π Kilomita 12 kutoka Ferry
π Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
π° BEI: TZS MILIONI 35
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba mpya kabisa, eneo zuri na nafasi nzuri ya kumalizia kwa mtindo unaoupenda.
π 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #realestateagent #trendingaudio















