Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Morogoro
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀 𝐁𝐎𝐑𝐀 𝐈𝐍𝐀𝐔𝐙𝐖𝐀– 𝗧𝗦𝗛.𝗠𝗜𝗟𝗟𝗜𝗢𝗡𝗜.80!
Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba yenye nafasi kubwa na inayofaa kwa makazi pamoja na uwekezaji.
✨ 𝗦𝗶𝗳𝗮 𝘇𝗮 𝗡𝘆𝘂𝗺𝗯𝗮:
Vyumba 3 vya kulala
Sebule kubwa
Dining
Jiko
Public toilet
Umeme na maji ya uhakika
Ipo ndani ya fensi
Uwanja mkubwa umebakia kwa ajili ya kujenga nyumba nyingine, bustani au shughuli nyingine za maendeleo
Ina mabanda ya ufugaji yaliyopo tayari, hivyo ni chaguo bora kwa wanaopenda ufugaji au uwekezaji wa kilimo na mifugo
💰 𝗕𝗲𝗶: 𝗧𝗦𝗵.𝗠𝗶𝗹𝗹𝗶𝗼𝗻𝗶.80 (Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.)
📍Fika ujionee mwenyewe ubora wa nyumba na mazingira yake.
📞 𝗠𝗮𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼: 0678-517158 / 0785-517158
🚗 𝗔𝗱𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗦𝗶𝘁𝗲: 𝗧𝗦𝗵. 50,000/=















