Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 240,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

600 SQM

Huduma na Sifa

Hati
(Fence) Ukuta
Fence ya Umeme
Bustani
Kisima
Makabati ya Jiko

Maelezo

✨ LUXURY LIVING IN TABATA SEGEREA 🏡🔑

Kwa wanaotafuta makazi ya kisasa yenye hadhi na usalama wa hali ya juu, hii ndiyo nyumba sahihi kabisa.
Ipo kwenye neighborhood tulivu, ndani ya fensi, ikiwa na electronic fence pamoja na remote control gate kwa convenience na privacy ya kiwango cha juu. 🚘✨

Nyumba kuu ina vyumba 3, viwili master, sebule kubwa, dining, na jikoni la kisasa lenye makabati pamoja na store.
Kwa nje kuna additional rooms, garden nzuri sana 🌿, jikoni la nje, kisima cha maji, pamoja na sehemu maalum ya kufugia mbwa 🐕.

📍 Location: Tabata Segerea
📐 Size: 600 sqm
📄 Hati miliki ya Wizara ya Ardhi
💰 Price: TZS 240M

Inafaa kwa family residence ya kisasa, executive home, au uwekezaji wa premium rental / guest house.

📞 Call/WhatsApp: +255688412890
💼 Dalali wako Wakishua ✨

#LuxuryHome #TabataSegerea #daressalaam #HouseForSale