Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 35,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

400 SQM

Maelezo

NYUMBA YENYE VYUMBA 3 KWA BEI RAFIKI YA TSHS.35 MILIONI TU.

Ipo UKONGA MOMBASA.
Jirani na Kotuo cha Daladala.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.

Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

WAHI HAIKAI HII.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv