Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Makongo Mwanzoni, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
STAND ALONE HOUSE INAPANGAWA | MAKONGO MWANZONI 🏠✨
Nyumba nzuri sana ya kujitegemea (Stand Alone) inapangishwa, ipo kwenye mazingira tulivu na salama kabisa.
Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba: Vyumba 2 vya kulala.
❄️ AC: Ina Full AC vyumbani na sebuleni.
🅿️ Uwanja: Paving blocks zimekaa vizuri na kuna nafasi ya kutosha ya kupaki magari.
🔒 Ulinzi: Eneo limezungushiwa ukuta na geti kwa ajili ya usalama wako.
💰 Kodi: TZS 1,300,000/= kwa mwezi
📍 Mahali: Makongo Mwanzoni
📞 Mawasiliano / Booking:
Piga au WhatsApp:















