Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Buzuruga, Mwanza

Maelezo
MJENGO UNAUZWA MIL 120
UPO BUZURUGA CHUO CHA TIA KILICHOPO BUZURUGA STENDI JIJINI MWANZA
Hapo mbele inavyumba viwili sebule jiko stoo nk (vyumba vyote viwili ni self )
Alafu ubavuni kuna chumba na sebule self jiko stoo nk kwa ajili ya mpangaji analipia milioni 2.5 kwa mwaka..
Pia upande wa nyuma kabisa upande wa hiyo nyumba kubwa kuna chumba sebule jiko stoo nk, kama mpangaji analipia milioni 2 kwa mwaka..
Alafu nyuma kabisa kuna nyumba inayojitejemea kabisa kwa ajili ya wapangaji ina chumba na sebule self jiko stoo nk mara mbili na kila mpangaji alalipia milioni 2 kwa mwaka..
So mpaka sasa hii nyumba ina wapangaji wanne pamoja na mmiliki mwenyewe mwenye nyumba ya vyumba viwili vyote self jiko stoo nk
Ambaye ni mtu wa tano kwenye huu mji (anapokea milioni 8.5k kila mwaka kutoka kwa wapangaji wake tu! na anaishi hapo hapo.
Hivyo kama ukiamua kuichukuwa kama ya biashara kupangisha unaweza kupokea pesa zaidi ya milioni 12 kila mwaka
Maelezo zaidi nenda WhatsApp 0763 296 711 @ourdalali_real_estate_limited




