Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani (400 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
2
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
4km β Morogoro road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI YA KUHAMIA INAUZWA KIBAHA KONGOWE TSH MILIONI 17 TU
==========
π»Ina vyumba viwili vya kulala, Chumba kimoja master
π»Sebule
π»Jiko
π» Public toilet
==========
π Kiwanja chake kina sqm 400 β
==========
βοΈ Ina umeme na Maji
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
π Tiles, Gympsum & Slide Window
π Ipo 4km kutoka Morogoro road
π Ina mabanda ya kufugia
_____________________
π° BEI MILIONI 17 TU π
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#















