Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibugumo, Mji Mwema, Kigamboni, Dar Es Salaam (812 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
812 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ ENEO KUBWA LINAUZWA β KIGAMBONI, MJI MWEMA KIBUGUMO, DAR ES SALAAM π₯
Fursa adhimu kwa makazi na uwekezaji! Pata eneo kubwa lenye nyumba ya kisasa kwa bei ya kuvutia.
β
Bei: TSh 78,000,000 (Mazungumzo kidogo yapo)
β
Ukubwa wa eneo: Square Meter 812
β
Mita 500 tu kutoka barabara ya lami
β
Mtaa mzuri, salama na wenye maendeleo makubwa
Sifa za mali:
π Nyumba ya kisasa yenye vyumba 2 vya kulala
π° Ina uwezo wa kupangishwa kwa zaidi ya TSh 700,000 kwa mwezi
π§± Eneo lote limezungushiwa fensi
π³ Bado kuna nafasi kubwa ya kujenga nyumba nyingine za kupangisha au kuongeza maendeleo mengine ya uwekezaji.
Hii ni fursa nzuri kwa anayehitaji kuishi kwenye mazingira mazuri huku akijenga chanzo cha mapato kupitia upangishaji.
π Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea eneo hili kabla halijauzwa!
Service Charge: TSh 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















