Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
1260 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
š„ ENE0 KUBWA LINAUZWA ā KIGAMBONI KIBADA, DAR ES SALAAM š„
Fursa adhimu sana kwa wawekezaji au wanaotafuta kujenga dream house yao kwenye mazingira ya kishua na yaliyotulia Kigamboni Kibada. āØ
š Location: Kigamboni Kibada, Dar es Salaam
ā
Kilomita 7 tu mpaka Ferry
ā
Kilomita 6 mpaka Darajani
ā
Meta 500 tu mpaka barabara ya lami
š” Eneo tayari limeendelezwa kabisa:
ā
Lina nyumba ya vyumba 2 vya kulala
ā
Sebule na jiko
ā
Limezungushiwa fence
ā
Lina fremu 5 za biashara
ā
Tayari lina maendeleo yote muhimu
š Ukubwa wa eneo:
ā
Square Meter 1,260
ā
Kiwanja kimepimwa
ā
Kina hati/nyaraka za wizara
š§ Huduma zote zinapatikana:
ā
Umeme
ā
Maji ya DAWASA
ā
Kisima cha maji
ā
Mtaa mzuri wa kishua na uliopangika
š„ Bonus kubwa:
Unanunua eneo kwa bei ya kiwanja tu lakini unapata bure nyumba, fence pamoja na fremu za biashara zilizopo ndani yake!
š° Bei: TZS Milioni 135 tu
š Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit
š Call/WhatsApp: O719969102















