Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam
3 days ago
Sh. 18,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
2
Huduma na Sifa
Ardhi Tambarare
Maelezo
BANDA LA VYUMBA VINAUZWA – MBAGALA CHAMAZI
Banda la vyumba viwili vyote master bedroom linauzwa kwa bei ya Tsh milioni 18 (maongezi yapo).
📍 Location: Mbagala Chamazi, Mikumi – Mtaa wa Uvikiuta
✔️ Vyumba 2 vyote master
✔️ Pamoja na msingi wa vyumba 3 tayari
✔️ Eneo ni tambalale
✔️ Mtaa wa kishua, mazingira mazuri na salama
💡 Hii ni fursa nzuri kwa uwekezaji au kuendeleza ujenzi wako.
📞 Njoo site ukague mwenyewe – tajiri yupo tayari kuuza
Kwa maelekezo zaidi: 0683 665504
