Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mjimwema Mataa, Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA MBILI ZINAUZWA KWA BEI YA KUTUPWA โ KIGAMBONI MJIMWEMA MATAA ๐ก
๐ Dar es Salaam โ Kigamboni, Mjimwema Mataa
๐ Dakika chache tu hadi barabara ya lami
๐ Kilomita 5 hadi Ferry
๐ Kilomita 4 hadi Lala Jijani
๐ฅ FURSA ADIMU KWA WAWEKEZAJI ๐ฅ
Bei ilikuwa Milioni 170
Sasa ni Milioni 140 tu! ๐ฎ
Ndani ya eneo kuna nyumba 2 nzuri sana, ambapo kila nyumba ina:
โ
Vyumba 2 vya kulala
โ
Sebule
โ
Dining
โ
Jikoni
โ
Umeme wake binafsi
โ
Kisima cha maji
โ
Maji ya kutosha muda wote
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 1000
๐ Lina hati ya wizara
๐ง Eneo lote limezungushiwa fence tayari
๐ก Eneo hili linafaa kwa:
โ๏ธ Nyumba za kupangisha
โ๏ธ Kuishi na familia
โ๏ธ Daycare
โ๏ธ Shule
โ๏ธ Hospitali
โ๏ธ Apartments au hostel
๐ด Mazingira ni mazuri sana, mtaa umetulia na una maendeleo makubwa.
๐ฐ Bei: TZS Milioni 140 tu
๐ Service charge: 30,000/=
๐ Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni mjimwema viral fyp















